Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara atembelea banda la SIDO kwenye maonesho ya Nanenane - Dodoma
07 Aug, 2025 09:00 AM - 06:00PM Viwanja vya Nane Nane - Dodoma

Mgeni rasmi wa siku ya tarehe 06/08/2025 Mhe.  Dk. Suleiman Serera, Naibu Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda na Biashara ametembelea mabanda mbalimbali ikiwemo  SIDO ili  kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na  mashirika na taasisi  mbalimbali kwenye Maonesho ya 32 ya Kililimo, Ufugaji na uvuvi maarufu Nane Nane yaliyofanyika kanda ya kati katika viwanja vya Nzughuni - Dodoma .

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara atembelea banda la SIDO kwenye maonesho ya Nanenane - Dodoma
Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo