MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA NA BIASHARA ZA WANAWAKE 2026
28 Jan, 2026 09:00AM - 06:00PM Mnazi Mmoja Grounds

Chama cha Wanawake wafanyabiashara Tanzania (TWCC) wameandaa maonesho ya kutimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake ambapo sherehe hizo zitaambatana riadha kama njia mojawapo wa kuwezesha wanawake kiuchumi nchini Tanzania. Kauli mbiu ni  "Miaka 20 ya kuwawezesha Wanawake katika Biashara".  Pamoja na fursa mbalimbali za ushiriki wa maonesho haya, wanachama  washiriki  wataonesha bidhaa mbalimbal. Marathon ya kuadhimisha miaka 20 ya TWCC itakayofanyika  tarehe 01 March 2026. 

MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA NA BIASHARA ZA WANAWAKE 2026
Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo