VIJANA ZAIDI YA 60 MKOANI TANGA WAPATA MAFUNZO YA USINDIKAJI VYAKULA
Imewekwa: 20 Jun, 2026
VIJANA ZAIDI YA 60 MKOANI TANGA WAPATA MAFUNZO YA USINDIKAJI VYAKULA

Vijana wapatao 60 kutoka halmashauri za wilaya za Tanga, Muheza na Mkinga wamehitimu mafunzo ya usindikaji wa vyakula yaliyolenga kuwawezesha kupata ujuzi wa kuongeza thamani ya mazao na kujiajiri kupitia shughuli za ujasiriamali.

Mafunzo hayo yamefadhiliwa na mradi wa East African Crude Oil Pipeline (EACOP) na kutekelezwa kwa ushirikiano kati ya Sheria Kiganjani na SIDO.

 

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo