Mafunzo ya Ujasiriamali
Imewekwa: 15 Oct, 2025
Mafunzo ya Ujasiriamali

Kutakuwa mafunzo ya ujasiriamali yatakayoendeshwa na  Mhandisi Bi. Betty Rweabura siku ya Jumamosi tarehe 18/10/2025. Mafunzo hayo yameandaliwa na Bathel Chapel International na yatafanyikia katika ukumbi wa ofisi hiyo uliopo Mikocheni B, Barabara ya 26  ya Mwenda - DSM. Mafunzo hayo yataanza saa 3:00 asubuhi hadi saa 8:00 mchana. Yatahusiana na maswala ya uanzishaji wa viwanda, ubunifu kwenye biashara, masoko na utangazaji na masuala ya mashine na vifaa mbalimbali.

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo