TEKNOLOJIA MPYA ZA KUONGEZA THAMANI ZAO LA KOROSHO
Imewekwa: 03 Sep, 2025
TEKNOLOJIA MPYA ZA KUONGEZA THAMANI ZAO  LA KOROSHO

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara  Mh. Abdallah Mwaipaya, alizindua mafunzo ya utumiaji wa mashine za kisasa  za ubanguaji korosho katika Ofisi ya SIDO Mtwara.  Kampuni ya Sourthern Saharan Engineering ambayo ni watengenezaji wa mashine hizo watafungua Ofisi ndani ya  SIDO Mtwara. Hivyo yeyote atakayehitaji  teknoloja hizi anakaribishwa sana  kuchangamkia fursa hii na kuongeza tija kwenye uongezani thamani zao la korosho.

 

Karibu Tukuhudumie

Pamoja Tujenge Viwanda

#sidotanzania2025

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo