Mkurugenzi Mkuu wa SIDO Mhand. Prof. Sylvester Mpanduji alizindua mradi wa Inclu-Cities jijini Mwanza
Imewekwa: 23 Jan, 2026
Mkurugenzi Mkuu wa SIDO Mhand. Prof. Sylvester Mpanduji alizindua mradi wa Inclu-Cities jijini Mwanza

Hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa SIDO Mhand. Prof. Sylvester Mpanduji alizindua mradi wa Inclu-Cities chini ya Proram ijulikanayo kama SASA.  Mradi huu unafadhiliwa na Umoja wa Ulaya na kusimamiwa na Enabel. Lengo ni kusaidia biashara  na shughuli zinazotunza mazingira hasa katika Wilaya ya Ilemela na Nyamagana.  SIDO Mwanza inatekeleza mradi huu kwa kuwafikia wajasiriamali 230 ambao wanajishughulisha na ufugaji wa  samaki kupitia vizimba, wasindikaji wa samaki na  wale wote wanaojishughulisha na shughuli za kuhifadhi na kulinda mazingira. 

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo