SIDO ARUSHA YATO MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WADOGO TOKA WILAYA YA NGORONGORO
Imewekwa: 04 Jun, 2025
SIDO ARUSHA YATO MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WADOGO TOKA WILAYA YA NGORONGORO

Washiriki wa mafunzo kutoka Kijiji cha Sukenya, Wilaya ya Ngorongoro wakiwa katika picha za matukio  mbalimbali  wakati wa mafunzo. Mada zilizotolewa ni Mpangilio wa kiwanda, Usafi na Usalama wa usindikaji wa Asali ambazo zilifundishwa na mkufunzi kutoka SIDO Arusha Mhand. Stephano Leyan.  Lengo la mafunzo ni kuwapa ujuzi wa kusindika Asali ili kuongeza thamani mazao ya nyuki kwa ufadhili wa Shirika lisilo la Kiserikali liitwalo FOTZ.

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo