MAONESHO YA 49 YA SABASABA, 2025
Imewekwa: 04 Jun, 2025
MAONESHO YA 49 YA SABASABA, 2025

SIDO imeendelea kutoa huduma zake kwa wajasiriamali wadogo na wa kati  ikiwemo kutangaza bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wajasiriamali.  Kupitia maonesho yanayoandaliwa na SIDO na wadau mbalimbali bidhaa za wajasiriamali zimekuwa zinapata masoko  ndani na nje ya nchi.  Kwa mwaka huu 2025,  wajasiriamali  wapatao 135 kutoka mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani  wameweza kushiriki katika Banda la SIDO kwenye maonesho ya 49  ya kibiashara Tanzania yanayojulikana kama  “Maonesho ya 49 ya  Kimataifa ya Biashara ya Dar Es Salaam (DITF)” 2025

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo