Majadiliano ya Biashara kwa Vijana na Wajasiriamali yafanyika Iringa
Imewekwa: 03 Sep, 2025
Majadiliano ya Biashara kwa Vijana na Wajasiriamali yafanyika Iringa
SIDO Iringa kwa kushirikiana na kampuni ya BSBI Consultancy wameendesha Semina ya Majadiliano ya Biashara kwa Vijana na Wajasiriamali ambayo ililenga kuwajengea vijana chipukizi uzoefu katika kuanzisha biashara.
Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo