NAIBU KATIBU MKUU, WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AMETEMBELEA OFISI YA SIDO -UPANGA DAR ES SALAAM
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, ametembelea Ofisi ya SIDO - Upanga na kukutana na manejimenti ya SIDO kujadili maendeleo ya Shirika katika kukuza sekta ya viwanda vidogo na vya kati nchini.
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo