img
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dennis Londo ametembelea Ofisi za , Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) – Upanga ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa majukumu ya Shirika pamoja na kujionea shughuli mbalimbali zinazotekelezwa.
Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo