Katika harakati za kuwawezesha vijana kiuchumi, Waziri wa Nchi ofisi ya Raisi Maendeleo ya Vijana, Mh. Joel Arthur Nanauka na Mbunge wa jimbo la Mtwara mjini anatekeleza hilo kupitia uanzishwaji wa majukwaa ya Vijana kila Mkoa.
Mrejesho, Malalamiko au Wazo