Kamishna wa Huduma za Urekebu ndani ya Jeshi la Magereza Tanzania na Uwezeshaji Kiuchumi, Bi. Amina Jumanne Kavirondo, alitembelea Banda la SIDO katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), 2026 ambapo alipata fursa ya kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Vituo vya kuendeleza Teknolojia za SIDO pamoja na bidhaa mbalimbali zinatotengezwa na wajasiriamali wanaonufaika na huduma za SIDO.

