Bidhaa na Huduma za Wajasiriamali

Ukurasa huu unaonesha bidhaa zilizotengenezwa na huduma zinazotolewa na wajasiriamali katika Tanzania. Kupata bidhaa/huduma unayotaka, tafuka kwa mkoa, sekta ya bidhaa/huduma au andika neno linaloendana na bidhaa/huduma unayotafuta, kisha bofya neno “Tafuta”.

Mawasiliano:
S.L.B 437,Tabora
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Hidaya Amri – 0754 316862
Mkoa:
Tabora

Asali halisi ya Miombo

Mawasiliano:
S.L.B 7259, Moshi - kilimanjaro
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Ndugu Hugo Barnabas
Mkoa:
Kilimanjaro

 Mashinea ya Kuchanganya vyakula vya mifugo, inatengenezwa na Kampuni ya Hugo Metal Fabrication iliyopo Moshi mkoani

Mawasiliano:
P.O BOX 400 Shinyanga, +255 754 307 517
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
John Komba
Mkoa:
Shinyanga

Matololi imara yaliyotengenezwa kwa umahiri

Mawasiliano:
P. O. Box 10390, Arusha. Mob. N0: 0754015011
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
ESTHER NASSARI
Mkoa:
Arusha

Bidhaa zetu ni bora kwa matumizi ya watu wa rika zote

Mawasiliano:
S.L.P 10467 simu +255 713 244835
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Leopold Lema
Mkoa:
Mwanza

Imetengenezwa kutokana na juisi ya ndizi  pamoja na hamira

Mawasiliano:
Lindi Ruangwa, 0784497393
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Amri chembe
Mkoa:
Lindi

bee smoker

Nikifaa kinachotumika katika ulinaji wa asali

Mawasiliano:
P.O BOX 311 SHINYANGA +255 753 975 757, +255 683 577 494
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Zamda Shabani
Mkoa:
Shinyanga

Made in Tanzania Coffee Drinks

Mawasiliano:
Simu: 0713786438
Jina la Mtu wa kuwasiliana naye:
Fredrick Chapumba
Mkoa:
Tanga

Ukulima wa Miche ya Michungwa Maduma "UWAMM" NI KIKUNDI CHA WAKULIMA KINACHOJIHUSISHA NA UZALISHAJI NA UUZAJI