KOZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

Swahili
Malengo: 
Wateja waliolengwa watakuwa na uwezo wa kutumia vifaa vya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) kwa lengo la kukuza biashara na ushindani wa kibiashara.
Moduli: 
Jina la moduli: 
Maana ya TEHAMA(Teknolojia ya Habari na Mawasiliano)
Maelezo ya Moduli: 
1.Vifaa vya TEHAMA na matumizi yake. 2.TEHAMA na biashara. 3.Utafutaji wa taarifa. 4. Huduma za nufuvi. 5.Utunzaji wa kumbukumbu na upitiaji.
Mbinu: 
Mfunzo kwa njia ya vitendo
Kundi Husika Linalolengwa: 
Wanaotaka kuanza biashara,Waliokwisha anza biashara, waliopo kwa muda mrefu na viwanda vidogo na vya kati.
Ada Ya Programu: 
TZs. 100,000 kwa muhusika mmoja (ada,chakula na steshonari)
Muda wa Kozi: 
Siku tatu