Mafunzo ya Uchakataji ngozi za wanyama

Swahili

Mafunzo ya Uchakataji ngozi za wanyama, yaliyoendeshwa katika kituo cha SIDO TPC Usangi, wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro.

Mafunzo yalihusisha uchakataji ngozi na utengenezaji wa bidhaa za ngozi

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Alex Masenene 0767 915 086