UCHAKATAJI WA MBAO

Swahili
Malengo: 
Kuwawezesha wahusika wanaojihusisha na mbao ikiwemo mafundi seremala/waashi, wauzaji mbao za jumla na .............kupata mbinu za kuweza kukausha mbao kuendana na matumizi yake.Kuhamasisha viwanda vidogo na vya kati kutumia mbao za msimu ili kuimarisha ubora wa bidhaa na kushikilia soko.
Moduli: 
Jina la moduli: 
Uchakataji wa Mbao
Maelezo ya Moduli: 
1. Aina ya unyevu 2. Nini kinatokea mbao inapokaushwa. 3. Kwanini mbao inatakiwa kukaushwa kabla ya matumizi? 4. Kiwango cha unyevu 5. Kiwango cha unyevu na matumizi ya mbao. 6. Njia za ukaushaji. 7. .......... wakati wa ukaushaji. 8. Ukaushaji wa njia ya hewa. 9. Ukaushaji wa kutumia paa la nyumba. 10.Udhibiti wa uishaji wa mbao. 11.Namna ya uhifadhi wa mbao. 12.Gharama ya ukaushaji wa njia ya hewa.
Mbinu: 
Mafunzo yanatolewa kwa mtaala wa Forest Industries Training Institute(FITI) .Lakini pia Mafunzo yanatolewa kulingana na mahitaji.Mafunzo yanakuwa kwa njia ya ushirikishwaji ,majadiliano kwa makundi,mafunzo kwa njia ya vitendo,mazoezi na kubadilishana uzoefu.
Kundi Husika Linalolengwa: 
Wawakilishi kutoka viwanda vidogo na vya kati vinavyojihusisha na masuala ya uashi,biashara ya mbao na wajenzi.
Ada Ya Programu: 
TZs. 100,000 kwa muhusika mmoja (ada,chakula na steshonari)
Muda wa Kozi: 
wiki moja