USIMAMIZI WA MIKOPO

Swahili
Malengo: 
Kuweza kuwapatia wahusika uwezo wa kuweza kusimamia na kutumia mikopo kwa usahihi.
Moduli: 
Jina la moduli: 
Mbinu za Usimamizi wa Mikopo
Maelezo ya Moduli: 
1.Dhumuni na Malengo. 2.Jukumu la mikopo katika maendeleo. 3.Mzunguko wa mikopo. 4.Uanzishwaji wa usimamizi wa mikopo na taarifa. 5.Uhakika na unafuu 6. Upitiaji wa mikopo 7.Understanding Cost and Production. 8.Four basic tools for Enterprise Analysis.
Mbinu: 
Kujifunza kwa kubadilishana uzoefu, mazoezi , majadiliano ya magrupu na uwasilishaji wa mtu binafsi.
Kundi Husika Linalolengwa: 
Kwa wanaoanza biashara, Waliopo kwenye biashara, Biashara ndogo na za kati.
Ada Ya Programu: 
TZs. 100,000 kwa muhusika mmoja(ada,chakula na steshonari)
Muda wa Kozi: 
Siku 3