EFTA EQUIPMENT LOANS

EFTA Ltd inatoa mikopo ya:

  •       Mashine kuanzia tshs 20,000,000-200,000,000
  •       Hatutoi pesa taslimu
  •       Kwa miradi ya kilimo,tunatoa mikopo mikubwa zaidi
  •       Baada ya maombi kukubaliwa,mteja atalipa 10% ya thamani ya     mashine papohapo
  •        Kwa trekta na mashine zinazotembea,malipo ya awali ni 20% ya thamani ya mashine

Baadhi ya vitendea kazi tunavyokopesha ni trekta,mashine za ufyatuaji matofali,green house na udobi.

Sifa za kuomba mkopo,kama

  •        Una wazo pevu la biashara au fursa ya kuua
  •        Una uzoefu mzuri kwenye sekta yako,hata kama unaanza biashara
  •       Una uwezo wa kupata mtaji unaohitajika kwa biashara yako
  •       Una eneo zuri lenye usalama kwa kufanyia kazi hiyo

 Jinsi ya kuomba;wasiliana na EFTA na ujiandikishe jina lako ili uhudhurie semina ya nusu siku na hapo utapewa fomu na maelekezo zaidi.

                                                              

Swahili
Sekta ya Huduma Inayotolewa: 
Anuani, Namba ya Simu: 
Mobile: 255 687 292 616;Email;morogoro@efta.co.tz
Mkoa: