Swahili
Mada kuu zitakazofundishwa, utangulizi usimamizi wa biashara, masoko, utunzaji wa kumbukumbu,kupanga bei na gharama,kuandaa mpango wa biashara, na vyanzo vya fedha. Mafunzo yatafanyika Tandahimba mjini.
Mkoa:
Mtwara
Sekta:
Tarehe Ya Mafunzo:
08/2/2016 to 12/2/2016