Swahili
Mada kuu zitakazofundishwa ni utangulizi usimamizi wa fedha, Bajeti , Kupokea malipo, kufanya malipo,usimamizi wa akaunti benki taarifa za fedha na ukaguzi, taarifa za fedha za mwaka na umuhimu wake katika biashara. Mafunzo yatafanyika Masasi Mjini.
Mkoa:
Mtwara
Sekta:
Tarehe Ya Mafunzo:
27/1/2016 to 28/1/2016