Ifuatayo ni orodha ya vitu vinavyohitajika kama unataka kuingia kwenye kilimo cha Uyoga: -
1. Vimeng'enywa.
2. Panga.
3. Nailoni la kutandika mezani.
4. Meza kubwa.
5. Mbegu ya Uyoga.
6. Banda la kuoteshea Uyoga.
7. Mifuko ya plastiki.
8. Pipa/Sufuria la kuchemshia vimeng'enywa.
9. Kamba ya kufungia mifuko.
10.Kichanja cha kuwekea vimeng'enywa baada ya kuchemshwa. Hiki hujengwa kwa kutumia fito au mianzi.
Jinsi ya kulima kilimo hiki lazima upate mafunzo ya Kilimo cha Uyoga.